Proverbs 23:17-18


17 aUsiuruhusu moyo wako kuwaonea wivu wenye dhambi,
bali kila mara uwe na bidii katika kumcha Bwana.

18 bHakika kuna tumaini la baadaye kwa ajili yako,
nalo taraja lako halitakatiliwa mbali.

Copyright information for SwhKC